Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,128
- 2,356
Hivi wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,
Jana nilikuwa Morogoro kule hospitali ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile.
Hebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Jana nilikuwa Morogoro kule hospitali ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile.
Hebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu