Maajabu ya Ukristo na Uislam

Maajabu ya Ukristo na Uislam

ANT DRUGS

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
5,221
Reaction score
6,450
Mtasalimiwa na Boss la DP World

Nilijua ndani ya ukristo tu ndo kuna madhebu yanayopingana huku yote yakimuamini YESU.Ebu ona hapa.

1.Wakati kuna wakrito wamefunga Kwaresma kuna wakristo hawana habari na huo mfungo na hawautambui.Ila wote ni waumini wa Kristo.

2.Wakati kuna waislam wamemaliza RAMADHAN leo na wamefanya ibada maalum leo kuna wengine leo bado wamejinyima wakiendelea kumlilia Mungu wao wakiamini Mwezi bado haujaonekana.

Maaajabu gani mengine unayaona hapo ndugu mdau?

Hakika Wamishonari na Waarabu walituweza.
 
2.Wakati kuna waislam wamemaliza RAMADHAN leo na wamefanya ibada maalum leo kuna wengine leo bado wamejinyima wakiendelea kumlilia Mungu wao wakiamini Mwezi bado haujaonekana.
Si kulikuwa na double Sun rise jana?
 
Back
Top Bottom