Wanajamvi habari zenu,
Hii nchi ukitafakari sana inashangaza mno.
Nimekaa nawaza hapa,Taasisi za serikali zikitangaza ajira bado walioko serikarini wanaomba pia,Maajabu zaidi ni pale mtu aliye na kazi serikarini anaomba tena serikarini na anapata ila yule asiye na kazi akiomba hapati.
Juzi namsikiliza Kamishna mkuu wa TRA bila aibu anasema eti anawapa wale walio na kazi selikarini siku sijui 21 za kuripoti. Binafsi yangu nilitarajia pale pale kigezo cha kuwa na check namba tu iwe ndo tiketi ya moja kwa moja ya kutopata kazi serikarini unless uache kwanza ndio uombe tena.
Imagine kama trend ndio hii basi tatizo la ajira haliwezi kuisha kamwe na kila siku serikali itakuwa inaingia hasara kuajiri watu alafu wanaomba tena serikarini hapo hapo.Nonsense kabisa.
Kama mtu haridhiki kukaa Chato au Nachingwea anataka kukaa Posta Dsm afanye utaratibu wa kuama tu ila sio kuomba ajira tena na kuwabania vijana wetu wanaozunguka mtaani
Nawasilisha.
Hii nchi ukitafakari sana inashangaza mno.
Nimekaa nawaza hapa,Taasisi za serikali zikitangaza ajira bado walioko serikarini wanaomba pia,Maajabu zaidi ni pale mtu aliye na kazi serikarini anaomba tena serikarini na anapata ila yule asiye na kazi akiomba hapati.
Juzi namsikiliza Kamishna mkuu wa TRA bila aibu anasema eti anawapa wale walio na kazi selikarini siku sijui 21 za kuripoti. Binafsi yangu nilitarajia pale pale kigezo cha kuwa na check namba tu iwe ndo tiketi ya moja kwa moja ya kutopata kazi serikarini unless uache kwanza ndio uombe tena.
Imagine kama trend ndio hii basi tatizo la ajira haliwezi kuisha kamwe na kila siku serikali itakuwa inaingia hasara kuajiri watu alafu wanaomba tena serikarini hapo hapo.Nonsense kabisa.
Kama mtu haridhiki kukaa Chato au Nachingwea anataka kukaa Posta Dsm afanye utaratibu wa kuama tu ila sio kuomba ajira tena na kuwabania vijana wetu wanaozunguka mtaani
Nawasilisha.