kisungu
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 788
- 266
Popo ndio mnyama pekee anayeweza kuruka (fly) kama ndege, mara nyingi anatembea usiku, na huwa anakula wadudu wadodo wadogo, watu wengi wanadhani kuwa popo haoni kwa macho ila ukweli ni kwamba anaona vizuri kushinda hata wanyama wanaotembea mchana.
Popo anawezaje kuwakamata wadudu usiku? hii ni changamoto, ila popo amejitengenezea aina ya mawimbi ya sauti yanayomsaidia kuwinda, njia hii inaitwa echolocation. Hii inafanyeje kazi, kama ulishawai kutoa sauti kubwa kwenye pango huwa sauti inakurudia, vivyo hivyo na popo ndivyo inavyokuwa.
Maajabu yake..!
Popo ndiye mnyama pekee anayetoa hii sound waves duniani, cha ajabu ni kuwa hii sound wave inayotolewa na popo ni kubwa sana kushinda sauti zote hapa duniani na ipo nje wa uwezo wa binadamu kuweza kusikia, hapa ina maana ukisikia unaweza kuwa kiziwi au ukafa kabisa, hii sauti ikigonga kitu kiwe mti au mdudu inarudisha taarifa kwenye ubongo na kutafsiri na popo anakuwa tayari amejua ni kitu gani hicho.
Pia anaweza kujua umbali wa hicho kitu kwa haraka sana.
Ukipima frequency ya sound waves ya popo ni makadirio kuanzia 14,000 mpaka 100,000HZ ambapo binadamu ana uwezo wa kusikia kuanzia 20 mpaka 20,000HZ. Tofauti ni kubwa sana.
Popo mmoja anaweza kula hadi mbu 1,200 kwa saa moja
Popo anawezaje kuwakamata wadudu usiku? hii ni changamoto, ila popo amejitengenezea aina ya mawimbi ya sauti yanayomsaidia kuwinda, njia hii inaitwa echolocation. Hii inafanyeje kazi, kama ulishawai kutoa sauti kubwa kwenye pango huwa sauti inakurudia, vivyo hivyo na popo ndivyo inavyokuwa.
Maajabu yake..!
Popo ndiye mnyama pekee anayetoa hii sound waves duniani, cha ajabu ni kuwa hii sound wave inayotolewa na popo ni kubwa sana kushinda sauti zote hapa duniani na ipo nje wa uwezo wa binadamu kuweza kusikia, hapa ina maana ukisikia unaweza kuwa kiziwi au ukafa kabisa, hii sauti ikigonga kitu kiwe mti au mdudu inarudisha taarifa kwenye ubongo na kutafsiri na popo anakuwa tayari amejua ni kitu gani hicho.
Pia anaweza kujua umbali wa hicho kitu kwa haraka sana.
Ukipima frequency ya sound waves ya popo ni makadirio kuanzia 14,000 mpaka 100,000HZ ambapo binadamu ana uwezo wa kusikia kuanzia 20 mpaka 20,000HZ. Tofauti ni kubwa sana.
Popo mmoja anaweza kula hadi mbu 1,200 kwa saa moja