Wa Nyumbani
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 438
- 65
Nakumbuka enzi za ujana wangu niliwahi kusikia kuwa, ukiota ndoto halafu unapoamka tu, igeuze shuka uliyojifunika yaani kule kichwani kuwe miguuni na miguuni kuwe kichwani, mara moja na yule uliyemuota ataanza kuiota ndoto hiyo hiyo! mimi sikuwahi kuthibitisha ukweli huu lakini kuna mtu aliwahi. Yeye aliota anafanya mapenzi na msichana fulani na alipomgeuzia inasemekana naye akaiota. Asubuhi wakawa wanaangaliana kiaibu hadi jamaa alipotoboa siri na kumwambia na mshichana alithibitisha.
Naomba atakayeweza ajaribu ili tupate ukweli wa jambo hili!
Naomba atakayeweza ajaribu ili tupate ukweli wa jambo hili!