Maajabu ya dunia

Maajabu ya dunia

Haya kwanza nenda kajifunze kuitumia jf ipasavyo (kuweka picha n.k) kisha ndio uje hapa umekamilika. Sawa eeeh.
 
hii gongo uliyokunywa itakua imeongezwa kitu si bure
 
Nimevuta bangi saana hapa so nimecheka saaaana yaaani saana bila kikomo yaani nimecheka kupita maelezo aiseee jf buruuuuuuudani yaani ni kuswich oooooooon tuuuuu.
 
Utashangaa mambo ya kipuuzi puuzi kama huu uzi Ndio watu wanatajadili zaidi
 
Huyu ameshindwa kuweka picha sasa ame-post thread bila kujua hakuna picha. Anyways ndio maajabu yenyewe hayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom