Maajabu ya Dunia [emoji2772]

Maajabu ya Dunia [emoji2772]

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,284
Reaction score
2,593
Vipi unasema umeona Kila kitu kwenye hii Dunia basi nakuambia Kuna maajabu ujawahi kuyaona bhana

Kampuni ya MSCHF imetengeneza begi dogo zaidi ya Punje la Aragwe Yani sio poa [emoji16]

IMG_20230701_150532_569.jpg


Begi ni dogo sana kiasi kwamba unaweza kuliangalia kwa kutumia microscope

IMG_20230701_150532_575.jpg


begi Hilo limeuzwa kwa dollar za kimarekani [emoji383]63750 sawa na Tsh milioni mia moja na hamsini na Tatu laki tisa na elfu hamsini na sita za kitanzania na point point [emoji16]

Linaweza tumika kwenye fashion na shughuli mbalimbali. Ebu tuambie una la kusema lolote?

20230701_112615.jpg
 
Vipi unasema umeona Kila kitu kwenye hii Dunia basi nakuambia Kuna maajabu ujawahi kuyaona bhana

Kampuni ya MSCHF imetengeneza begi dogo zaidi ya Punje la Aragwe Yani sio poa [emoji16]

View attachment 2675278

Begi ni dogo sana kiasi kwamba unaweza kuliangalia kwa kutumia microscope

View attachment 2675279

begi Hilo limeuzwa kwa dollar za kimarekani [emoji383]63750 sawa na Tsh milioni mia moja na hamsini na Tatu laki tisa na elfu hamsini na sita za kitanzania na point point [emoji16]

Linaweza tumika kwenye fashion na shughuli mbalimbali. Ebu tuambie una la kusema lolote?

View attachment 2675280
Ni ujinga tu. Mtengenezaji na mnunuzi wote wenda wazimu. Begi au badge? Na matumizi yake nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom