Maajabu ya Bernard Membe

Maajabu ya Bernard Membe

Hivi huyu membe si ndo mesikia wananchi wamemchangia fedha akachukue fomu ya ubunge kama sie nawasihi wafanye hivyo mapema kuliepusha taifa na janga hili
 
duh huyu ndo waziri wa mambo yanje kweli? au kachanganyikiwa? kazi ipo
 
Huyu jamaaa ni kiazi sijawahi kuona toka nizaliwe...sikujua kama ni boya kiasi hiki
 
Nilikuwa namtegemea huyu jamaa sana hasa kutokana na CV yake niliiona nzuri sana na vile vile alikuwa anajitahidi kuongea vizuri wakati akiwa waziri wa mambo ya nje ,,dahh lakini alipoongea kule Lindi yaani nilistaaajabuuuuuu khaaaa jibu rahisi ni alinikata stimu yaani simshabikii tena na vile vile muendelezo wake ndio vile vile ,,,mmh . Ila ukosefu wa internal political experience ndio umemponza anadhani kuwa Deputy DG wa TISS anajua Tz nzima na basi ungemsaidia kujenga hoja nzuri jukwaani naona alipania sana hadi akapanick au hawezi kujenga hoja majukwaani ....Anyway angepiga kimya tu kama Maghufuli akasubiri ilani .....Membe umeniangusha aiseee big time ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom