Maajabu ya awamu ya 5

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,706
Namba 1.
Consultant -TBA
Contractor- TBA

Namba 2
Consultant- NHC
Contractor- NHC
Client -NHC

Namba 3
Consultant -Tanroads
Client- Tanroads

Na mengine mtaongezea, Ila ukweli tunaibiwa.
 
Namba 1.
Consultant -TBA
Contractor- TBA

Namba 2
Consultant- NHC
Contractor- NHC
Client -NHC

Namba 3
Consultant -Tanroads
Client- Tanroads

Na mengine mtaongezea, Ila ukweli tunaibiwa.
TBA majengo yataanguka time will tell for maghorofa!
 
Mkuu hii zaidi ya vituko vya akina Wema na Sepetu.bongo muvi
 
Duuh,, kuna vitu vya kubana ila siyo kurisk kwenye magorofa, ni kujitengenezea majanga.

Sawa na kuumwa na kukataa kumeza dawa ili ubane matumizi, afya itadhoofu hata hiyo hela hutaifurahia.
 
Namba 1.
Consultant -TBA
Contractor- TBA

Namba 2
Consultant- NHC
Contractor- NHC
Client -NHC

Namba 3
Consultant -Tanroads
Client- Tanroads

Na mengine mtaongezea, Ila ukweli tunaibiwa.
Mbona kama unajikuna mwenyewe kaka. Hayo ndio maajabu. Kazi IPO. Unatetea wapiga dili nini. Ghorofa la floor NNE mnapiga being ya 5-10 billion sasa mtajenga mawili ama matatu. Majengo yote ya zamani yaliyodumu miaka 50 hadi 100 consultancy na contractor alikuwa nani. Mliua taasisi za umma muingize ubinafsi wenu kupitia kampuni zenu. Mtaelewa tu.
 
Contractors wa service nao ni serikali?
 
mkuu swala sio kubana matumizi bali ni kufuata sheria na taratibu
 

Wewe kama ulifika hata form four Basi ulichezea ada ya mzazi wako. Akili yako imejaa tope
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…