Maajabu ya asali mbichi

Maajabu ya asali mbichi

Mkuu Ndohu, mimi ntakuuzia asali kwa shs.9,500/kg(Lita) kama utanunua kuanzia kg/Lita 5-10, na below 5 nitakuuzia shs.10,500. PM kwa order tu,napatikana Dar-pure asali ya Tabora.

Ngoma nzito mchuuzi na mfanyabiashara
 
Ni kati ya Sikonge na Mpanda. Kuna beekeepers tuliowatrain ndio nilipochukua hiyo asali kwao, tena walikuwa wanajiaandaa kupeleka kwa maonesho.
Unahitaji?

No thank you,sihitaji asali kwa sasa maana nina stock ya kutosha!
 
Asali Tabora ina NICOTINE haifai!
Habari wadau!
Asali mbichi ni miongoni mwa suluhisho rahisi sana la kuondoa kitambi kwa wale wenye vitambi wasivyovihitaji. Chemsha majabora haifai i kisha yamimine kwenye glass yenye unga wa mdalasini kiasi cha kijiko kimoja cha chakula, kisha funika glass yako kwa muda ili maji yapoe kidogo na kuwa katika hali ya uvuguvugu kisha weka asali kijiko kimoja cha chakula na koroga vizuri ili asali ichanganyike vizuri na maji. Kunywa yakingali ya uvuguvugu,kutwa mara tatu.
Mchanganyiko huo unasaidia yafuatayo:-
-kuondoa harufu mdomoni
-kupunguza uzito na kitambi
-kuzibua mirija ya uzazi inayoanza kuziba
-kuongeza hamu ya tendo la ndoa
Tatizo linalojitokeza kwa wakazi wengi wa mijini ni namna ya kupata asali mbichi,kwani asilimia kubwa ya asali inayouzwa mitaani ni feki.
Wakazi wa Dar es salaam na Pwani wasiliana nami kwa mahitaji ya asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka tabora.Lita moja yenye uzito wa takribani kilo1.5 ninauza kwa sh.12000/=
Piga simu na.0718-257185
 
Ukitaka kujua asali mbichi fanya yafuatayo:-
-chovya njiti ya kiberiti kwenye asali kisha iwashe,kama ni asali mbichi njiti itawaka. Kama ni asali feki njiti haitawaka.
-dondosha tone la asali kwenye mchanga,kama ni asali mbichi hilo tone la asali litajikusanya na mchanga(mchanga utazunguka tone la asali)
-asali mbichi inakuwa nzito,wakati asali feki ni nyepesi

Tatizo nani atakuruhusu kufanya zoezi lote hilo kwenye biashara yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom