Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,513
- 8,276
Jamaa kaja shop hapa kununua chaja, kanipa simu yake nimtestie kama chaja inafanya kazi, mara nikawa najiona kwenye screen ya simu nikajua labda simu iko kwenye camera! Kumbe ile simu lock yake ni ya kutumia sura ya mtu.
Je ile ni app ama ndo simu ilivyo?
Naomba kujuzwa.
Je ile ni app ama ndo simu ilivyo?
Naomba kujuzwa.