AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,649
- 4,756
- Thread starter
-
- #41
Maisha ya hii nchi ipo cku yatanyooka tu...Kuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.
Utasema wao ni malaika wanapaa tu...Mzee hao watu road sign na road marks huwa haziwahusu..zinatuhusu ss raia ..usishangae kuona gari ya polisi inaovertake kwenye kona kali au mlumani
Wakati wa kuondoka ungekapiga konziYaan sijui wanajikutaga kina nani?
Juzi kati hapa nilikuwa na shida polisi, kufika ka mdada eti kananifokea bila ht sababu. Nikikaangalia ka mdada kenyewe kadogo yaan nakazidi umri mbali tu, nikakapuuzia.
Mara akatokea jamaa mmoja hapo nafahamiana nae seems like alikuwa mkubwa kwa cheo. Alivyonipokea basi nacho kikaanza kujiongelesha eti kumbe ulikuwa mgeni wa flan, si ungesema. Mwenyewe nikawa niko busy tu na yule jamaa ht sikukajibu tena wala kukafuatilia.
Ila kaliniboa balaa.
polisi mnaosoma hiz comments? mjirekebishe jamanai hii dalili siyo nzuri mkumbuke hawa wanao wachukia wengine wanahudumia wazazi na watoto zenu ambao siyo polisi. kuna madokta, walimu, manesi na kada nyingine nyingi nawao wakiamua kuwatreat ndugu zenu hivyo kweli amani itakuwepo hapo.
Unamuacha tu uepukane na dhambi ndogondogoUkimkuta bado anapumua, unamtwanga jiwe kubwa la kichwa ili afe vizuri kabisa
Wajue na wao watakuwa raia tu ipo cku...polisi mnaosoma hiz comments? mjirekebishe jamanai hii dalili siyo nzuri mkumbuke hawa wanao wachukia wengine wanahudumia wazazi na watoto zenu ambao siyo polisi. kuna madokta, walimu, manesi na kada nyingine nyingi nawao wakiamua kuwatreat ndugu zenu hivyo kweli amani itakuwepo hapo.
Walivunja au mlitoka..? Shida yao ilkuwa hela lbdKatika watu ninao wachukia zaidi ni hao jamaa,kuna sku kulkuwa na sherehe nyumban vibali vya kupga mziki tulkuwa nanyo wakaja saa 7 na sisi(familia) ndo tulkuwa tumetoka ukumbini kwa Bahati nzur wote tulifikia ndani na kulala nje kulkuwa kuna mziki unaendelea kupgwa baadae wakaja polisi wakapga Risasi juu watu wakakimbia wakamshka mwenye mziki,wakagonga mlango na kutaka tutoke ili watukamate tukagoma kutoka,wakawa wanatshia eti watauvunja mlango,hawa jamaa nguvu nyingi akili hawana
Wewe ndio kidume, hawa wengine broiler tu.kuna dem wangu sajenti ananipelekesha hatari. nataka nimtwange mimba akalee huko
Si wangesema chanzo cha ajali...ni UZEMBE WA ASKARI...KUFICHA MWENZAO UOVU WAKE NI DOUBLE STANDARDS...Hata hivyo Prado sio gari ya safari ndefu na kama unaenda safari ndefu inatakiwa uwe dereva kweli gari haina balance ya kutosha inapokua kwenye mwendo kasi inakua nyepesi kama karatasi tuu...
Na israel haelewi cheo chako...Akipigwa tochi anainesha ID anapigiwa salute, ila lami haitumbui kitambulisho.
Km ni kweli...anastahili...Uyu ndo alikuwa mpekelezi wa kesi ya Aquiline?[emoji848][emoji848][emoji848]
Hahahah ulimfanyaje?Kuna mmoja alipanga kwenye nyumba yangu miaka ya 2012 akaanza kuleta ujuha wake kwa wapangaji wenzake na majirani,nilichomfanya hatanisahau kamwe.
Nasikia raia wote hawawapangishi polisi siku hizi, polisi wanaishi chini ya miti huko tz.Huku mtaani ninakoishi wenye nyumba wameambiana hakuna kupangisha aina yoyote ya polisi
Ungekapa mimba kangekuwa na adabu...kapate likizo ukape somo..Hii ndio dawa yao,na Mimi kuna kamoja kapo pale Central nimekaachia manyoa....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] niliamua kukapotezea tu.Wakati wa kuondoka ungekapiga konzi
Wengine washakaririshwa...POLISI TZ NI UWE HARSH...Kweli kbs, maana ht nilishangaa huyu dada ananifokea kwsbb gani?
Na kapata wapi ujasiri wa kumfokea mtu asiemfaham?
Na je ukienda hufahamiani na mtu hapo ndio hupati huduma nzuri?
Namsokomeza mawe mawili mazito hadi kichwa ipasuke akufe harakaUnamuacha tu uepukane na dhambi ndogondogo
Siku ukibakwa ndiyo utajua umuhimu wao.Hawa watu hawafai hata kusaidiwa wakikutwa kwenye matatizo...dhulma tu...
Hahah kibaka ,mbwa dahKuna mmoja alikua anajaribu kumkamata pedeshee mmoja. Pedeshee akasoma namba yake kifuani na kumpigia RPC. RPC akamwambia mpe simu huyo mbwa. Basi pedeshee akampa yule kibaka simu na kumuambia ongea na bosi wako. RPC alimwambia yule bwege, wewe hapo unafanya nini wakati kuanzia juzi ulipangiwa kazi kijiji fulani uswekeni huko ndaani ndaani umasaini. Hebu rudisha simu ya mwenyewe funga mguu ,geuka nyuma uwahi hapa ofisini uchukue barua yako uishie.
Ukiwa unakula na ma RPC na ma RCO nchi utakua umeiweka mfukoni.