Mimi kwangu hayo ni maajabu katika kutafsiri madaraka.ya uongozi wa chama
Na hii inatafsiri kuwa kwa Tanzania bara Zito ndiye defacto Kiongozi wa Chama
Unaijua sauti ya Othman Masoud huko Zanzibar wewe?Mimi kwangu hayo ni maajabu katika kutafsiri madaraka.ya uongozi wa chama
Na hii inatafsiri kuwa kwa Tanzania bara Zito ndiye defacto Kiongozi wa Chama
Mleta mada utataka kumaanisha Zitto ni Ayatollah?Mimi kwangu hayo ni maajabu katika kutafsiri madaraka.ya uongozi wa chama
Na hii inatafsiri kuwa kwa Tanzania bara Zito ndiye defacto Kiongozi wa Chama
sijasema zanzibar... lakini othman ilibidi hata na bara asikke kama alivyokuwa Maalim na CUF!Unaijua sauti ya Othman Masoud huko Zanzibar wewe?
wewe wasema. Lakini naona katika majimaji na movement zingine anayesikika zaidi ni Zito, siyo Dorothy!Mleta mada utataka kumaanisha Zitto ni Ayatollah?
exacxtlyTozi Bweka alikuwa anafanya acting ya kustaafu ili kuweka precedence kwa mwamba tuvushe nayeye afanye kama yeye/
haya ni majitu yanayowalaghai waTanganyika. Ni maadui wa Taifa. watahukumiwa sawasawa na Matendo yaoMimi kwangu hayo ni maajabu katika kutafsiri madaraka.ya uongozi wa chama
Na hii inatafsiri kuwa kwa Tanzania bara Zito ndiye defacto Kiongozi wa Chama
Unaijua sauti ya Othman Masoud huko Zanzibar wewe?
Wewe ndio msemaji wa Othman masoud ?Othman Masoud anajuta kumfahamu Zitto
Zito ndio mwenye chama, alistaafu kimagumashi ili ionekane yeye ni tofauti na Mbowe. Lakini pembe la ng'ombe halifichiki. Sasa hivi imebidi akae front maana wenye project ya ACT ni akina JK, Membe RIP, Mwigulu na wanataka waliyemtuma akae mbele. Nakumbuka uchaguzi wa 2020 Membe alilazimisha kuwa mgombea wa ACT, Maalim Seif akawa anamtaka Lisu. Kukawa hamna namna Zito akabaki anataka Membe awe mgombea akiwa hana jinsi, huku Maalim Seif akasema anamuunga mkono Lisu. Kwa sasa Zito lazima akae mbele, maana ni maagizo ya wenye project.Mimi kwangu hayo ni maajabu katika kutafsiri madaraka.ya uongozi wa chama
Na hii inatafsiri kuwa kwa Tanzania bara Zito ndiye defacto Kiongozi wa Chama