engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu wana JF
Watanzania kwa ujumla tumekuwa na kasumba kubwa sana kwa kuwadharau na kuwaona wale wajengao nyumba zao kwa kutumia TOFARI za kuchoma eti ni masikini,na ili uheshimike na kudhaminiwa na mtanzania ni lazima utumie tofari iliyotengenezwa na cement(block)
Lakini kwa nchi zenye maendeleo ya hali ya juu Duniani wao hawana huo upuuzi tulionao sisi masikini wa kutupwa,watatu kwa kuomba omba duniani,kwani wao wanatumia TOFARI ya udongo iliyochomwa kwa kujenga majengo yaliyo imala zaidi ya yale ya block tuyajengayo sisi masikini wa kutupwa TANZANIA
Nimeleta post hii ilikuwa eleza wabongo,masikini wenzangu,mlio jaa dharau na kejeri wakati umasikini unatumaliza kwa kununua cement nyingi na kuwanufaisha mabwanyenye kwa kutaka ufahari wa kujenga nyumba za tofari za block.
Angalia picha hapa chini
1.Tofari ya kuchomwa ipo site tayari kwa maandalizi ya ujenzi
2.tayari tofari ya kuchoma tunayo idharau watanzania imetengeza ghorofa kadhaa
3.baada ya ujenzi kuisha,waweza amini kuwa tofari ya kuchuma ndio iliyotumika hapo?
Watanzania kwa ujumla tumekuwa na kasumba kubwa sana kwa kuwadharau na kuwaona wale wajengao nyumba zao kwa kutumia TOFARI za kuchoma eti ni masikini,na ili uheshimike na kudhaminiwa na mtanzania ni lazima utumie tofari iliyotengenezwa na cement(block)
Lakini kwa nchi zenye maendeleo ya hali ya juu Duniani wao hawana huo upuuzi tulionao sisi masikini wa kutupwa,watatu kwa kuomba omba duniani,kwani wao wanatumia TOFARI ya udongo iliyochomwa kwa kujenga majengo yaliyo imala zaidi ya yale ya block tuyajengayo sisi masikini wa kutupwa TANZANIA
Nimeleta post hii ilikuwa eleza wabongo,masikini wenzangu,mlio jaa dharau na kejeri wakati umasikini unatumaliza kwa kununua cement nyingi na kuwanufaisha mabwanyenye kwa kutaka ufahari wa kujenga nyumba za tofari za block.
Angalia picha hapa chini
1.Tofari ya kuchomwa ipo site tayari kwa maandalizi ya ujenzi
2.tayari tofari ya kuchoma tunayo idharau watanzania imetengeza ghorofa kadhaa
3.baada ya ujenzi kuisha,waweza amini kuwa tofari ya kuchuma ndio iliyotumika hapo?