Maajabu Tanzania: Wanafunzi 26 kidato nne hawajui kusoma wala kuandika Simiyu

MeinKempf

JF-Expert Member
Jun 11, 2013
11,093
7,228
Wanafunzi 26 wa kidato cha IV mkoani Simiyu hawajui kusoma wala kuandika .
Hii imekaaje wadau, maana naona kama ni mazingaombwe kuamini kuwa mtu anaweza
fika kidato cha nne (form IV) bila ya kujua kusoma wala kuandika.
(Credit: Mwananchi newspaper).

Ninapata maswali mengi yasiyo na majibu :
01. Je, tatizo ni wanafunzi wenyewe kutokuwa na mwamko wa elimu ?
02. Je, walimu na ufundishaji ndio tatizo ?
03. Je, mtaala (education curriculum) hautekelezeki kwa vitendo..?
04. Je, huwa wanafunzi hao wanafanyaje mitihani yao ya kufunga muhula na test (majaribio) mnbali mbali yatolewayo shuleni..?
05. Je, walifanikiwaje kufanya mtihani wa darasa la saba na kufaulu?
06. Je, kuna umuhimu wa kuwa na mchujo mkali kwenye suala la elimu badala ya kuacha hivi ilivyo ambapo inakuwa kama ni compulsory education?
 
Hilo swali nami nimejiuliza zaid ya mara 10 bila kupata jibu la kuniridhisha, ndio maana nikaona ni vema niweze
ku share experience na nyinyi hapa jamvini.
Ukistaajabu ya Musa. ....... Naipenda tz tujiulize wamefikaje kidato cha nne
 
Jibu ni rahisi tuu walimu kwa kuwa hawatimiziwi maombi yao miaka na miaka sasa Ile tabia inarithishwa mwalimu akiripoti leo akafika ofcn wafanyakazi wenzie wanapiga soga nae atapiga soga kumbuka walimu ni wito tena wito mgumu akufundishe mpaka uelewe, akiomba atekelezewe haja zake Wana ignore simple tuu anampitisha dent kafauru Mia kwa Mia na wazazi kutowafuatilia watoto haya ndio mavuno yake,
 
Wanafunzi 26 wa kidato cha IV mkoani Simiyu hawajui kusoma wala kuandika .
Hii imekaaje wadau, maana naona kama ni mazingaombwe kuamini kuwa mtu anaweza
fika kidato cha nne (form IV) bila ya kujua kusoma wala kuandika.
(Credit: Mwananchi newspaper).

Sio mazingaombwe, ni kawaida tu maana walikuwa hawafanyi mitihani wenyewe, walikuwa wanafanyiwa. Ingekuwa wanafanya wao basi wangeishia darasa la nne na sio kidato cha nne.
 
Mkuu sasa hii si itakuw ahatari sana kwani tutaandaaa taifa la wajinga watupu
sna matokeo yake ndio tunajiangamiza kwenye nyanja zote za maisha.
Mie naona kuna haja ya serikali ku reform and overwhelm the whole education system
from kindergarten level to tertiary level for the prospect of our country and its society at large.
Jibu ni rahisi tuu walimu kwa kuwa hawatimiziwi maombi yao miaka na miaka sasa Ile tabia inarithishwa mwalimu akiripoti leo akafika ofcn wafanyakazi wenzie wanapiga soga nae atapiga soga kumbuka walimu ni wito tena wito mgumu akufundishe mpaka uelewe, akiomba atekelezewe haja zake Wana ignore simple tuu anampitisha dent kafauru Mia kwa Mia na wazazi kutowafuatilia watoto haya ndio mavuno yake,
 
Kama ni kawaida , basi kuna shida kubwa sana iliyopo ndani ya mfumo mzima wa elimu.
Sio mazingaombwe, ni kawaida tu maana walikuwa hawafanyi mitihani wenyewe, walikuwa wanafanyiwa. Ingekuwa wanafanya wao basi wangeishia darasa la nne na sio kidato cha nne.
 
Sio mazingaombwe, ni kawaida tu maana walikuwa hawafanyi mitihani wenyewe, walikuwa wanafanyiwa. Ingekuwa wanafanya wao basi wangeishia darasa la nne na sio kidato cha nne.
Ahaaahaaaah umeona eeh inaitwa bora liende
 
Mkuu sasa hii si itakuw ahatari sana kwani tutaandaaa taifa la wajinga watupu
sna matokeo yake ndio tunajiangamiza kwenye nyanja zote za maisha.
Mie naona kuna haja ya serikali ku reform and overwhelm the whole education system
from kindergarten level to tertiary level for the prospect of our country and its society at large.
Hii ni ndoto kuurekebisha mfumo mzima wakati kila kiongozi anaangalia tumbo lake kwanza kuja kushtuka muda umeisha anaingia mwingine tungoje vilembwekeza wetu ndio waje waigeuze tz ila kwa sasa
 
Madhara ya kuvuruga mfumo wa Elimu yanaonekana miaka kadhaa ikipita hata sasa hivi madhara yake yataonekana baadae sana maana hakuna kinachofanyika zaidi ya matamko tuu kila kukicha...
 
Sidhani hata kama wana tsm 9 hao ni wale waliofeli darasa la 7, walioishia darasa la 6 wakaacha shule kisha maisha yakawapiga wakatafutiwa nafasi za kujiunga na form 1 au walipiga chabo au labda walipewa majibu ndio wakafaulu ila dah hii ni kali .
 
Nyie Fyatueni tu watoto jamani mkuu alishasema tena akakazia juzi kwenye SGR inauguration kuwa tutamkumbuka . hii ni moja ya kumbukizi la haja
 
Back
Top Bottom