Maajabu mwenyekiti achaguliwe na chama alafu msajiri aje amtengue kwani mwenyekiti wa chama cha siasa aliteuliwa na msajiri?

Maajabu mwenyekiti achaguliwe na chama alafu msajiri aje amtengue kwani mwenyekiti wa chama cha siasa aliteuliwa na msajiri?

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Maajabu mwenyekiti achaguliwe na chama alafu msajiri aje amtengue kwani mwenyekiti wa chama cha siasa aliteuliwa na msajiri?

Kwani msajiri ndio alimpa kazi mwenyekiti wa chama cha siasa haya mambo yalianza kama utani baada ya kuanza kuchezea chadema na ACT kwa kutumia ofisi ya msajiri sahivi wanafanya vitu ambavyo hawana mamlaka navyo kinyume cha sheria.

Watu wajinga na wapumbavu hawapaswi kuwa viongozi wa nchi kwakuwa hawana akili timamu mda wote wanawaza upumbavu matendo yao ni upumbavu tu,, maongezi yao ni upumbavu tu kila kitu ni upumbavu tu.
 
Maajabu mwenyekiti achaguliwe na chama alafu msajiri aje amtengue kwani mwenyekiti wa chama cha siasa aliteuliwa na msajiri?

Kwani msajiri ndio alimpa kazi mwenyekiti wa chama cha siasa haya mambo yalianza kama utani baada ya kuanza kuchezea chadema na ACT kwa kutumia ofisi ya msajiri sahivi wanafanya vitu ambavyo hawana mamlaka navyo kinyume cha sheria.

Watu wajinga na wapumbavu hawapaswi kuwa viongozi wa nchi kwakuwa hawana akili timamu mda wote wanawaza upumbavu matendo yao ni upumbavu tu,, maongezi yao ni upumbavu tu kila kitu ni upumbavu tu.
Inaadaliwa cinema ili itakapo kamilika itumike na kwa wenyeviti wengine isipokuwa chukua chako mapema
 
najua njia iliyotumika si sahihi

Lakn KUMTOA PROF LIPUMBAVU nimefurah kwan malipo.n hapahapa.duniani

Mwaka 2015 Tulikuwa jiran kumtoa.mkolon mweusi lakn prof lipumbafu na dk slaa walitusaliti kabisa
 
Back
Top Bottom