Maajabu: Kumbe ni lazima kununua vitambulisho vya machinga

Unakinunua 20,000/= na bado unalipia 500 kila siku kwa kuuza machungwa yako!
 
Kitambulisho kisicho na personal information zozote ni white collar utapeli....

Besides....hatunaga continuity kuzungumzia long term plans related to the vitambulishos, akija mwingine atakuja na sanaa zake...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani si kimetolewa na mamlaka husika ambazo zinatambulika! utapeli uo vipi sasa?
 
Hii serikali imezoea kuvunja sheria. Wito wangu kwa wananchi wa Dar, watumie mbinu za kibongo kupata vitambulisho hata kama ni feki, alimradi uwe nacho. Muwe pia mnafaulisha hivi vitambulisho. Msako ukiwa mahali na wewe unacho, basi mpatie huyu asiyenacho kwa muda huo aue hilo soo la msako. Msako ukimalizika chukua kitambulisho chako usepe zako.
Hiki kitambulisho mbona kinakuwa kama dili za mpinga kristo..itabidi wakina gwajima waitishe maombi ya amani..
 
Kitambulisho kinaimamiwa na sheria ipi? Hata mtu akikamatwa atasutakiwa kwa kuvunja sheria ipi? Naona Kuna mkurupuko wa viongozi wa kisiasa huku upande wa pili wananchi wengi hatujui haki zetu kisheria basi mambo yanaenda tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUNUNUE VITAMBULISHO KWA MAENDELEO YA TAIFA 20000
Watanzania tuache kulalamika kila kituu tulipe kodi kwa maendeleo yetu sisi wenyewe!!
 
Back
Top Bottom