Maajabu! Arusha kuna nabii ana makadinali

Otorong'ong'o

JF-Expert Member
Aug 17, 2011
37,526
25,734
Wakuu,,,

Nikiwa nimejipumzisha home huku nikitafuta steshen murua ya Radio ili kusikiliza kusindikiza usiku wangu vyema mara nikakumbana na Radio hii inayoitwa NYU Radio ama (Ngurumo ya Upako Fm )

Kwakuwa nilikuwa sijawahi isikia hii redio kutokana sikuwa nipo Arusha kwa muda mrefu ilibidi ni stop hapo ili kuisikiliza...

Wakati naendelea kusikiliza kulikuwa na kipindi nafikiri cha Ushuhuda mbali mbali kwa waumini wa Nabii Geo Davie....

Basi muumini mmoja akawa anatoa shuhuda zake jinsi alivyo guswa na mahubiri ya Kadinali wa kanisa hilo..
"Yani Fan J natamani Baba, Mh, Dr. Nabii Mkuu Geo Davie angechagua hata Makadinali wengine 10"

Hakika nilistaajabu sana..

My take:
Haya makanisa yaache kuiga hata mambo mengine ambayo hayawahusu...Kwa mtindo huu huyu Nabii karibuni ataanza kujiita Baba Mtakatifu (Papa Geo Davie)...
 
Pia nasikia ana Mabalozi wa kumuwakilisha katika nchi mbalimbali...Sasa sijajua ni nchi gani hizo..
 
Wakuu,,,

Nikiwa nimejipumzisha home huku nikitafuta steshen murua ya Radio ili kusikiliza kusindikiza usiku wangu vyema mara nikakumbana na Radio hii inayoitwa NYU Radio ama (Ngurumo ya Upako Fm )

Kwakuwa nilikuwa sijawahi isikia hii redio kutokana sikuwa nipo Arusha kwa muda mrefu ilibidi ni stop hapo ili kuisikiliza...

Wakati naendelea kusikiliza kulikuwa na kipindi nafikiri cha Ushuhuda mbali mbali kwa waumini wa Nabii Geo Davie....

Basi muumini mmoja akawa anatoa shuhuda zake jinsi alivyo guswa na mahubiri ya Kadinali wa kanisa hilo..
"Yani Fan J natamani Baba, Mh, Dr. Nabii Mkuu Geo Davie angechagua hata Makadinali wengine 10"

Hakika nilistaajabu sana..

My take:
Haya makanisa yaache kuiga hata mambo mengine ambayo hayawahusu...Kwa mtindo huu huyu Nabii karibuni ataanza kujiita Baba Mtakatifu (Papa Geo Davie)...

Hata akijiita baba mtakatifu ila sio mtakatifu kwa maana hata huyo anaejiita baba mtakatifu ni msanii tu kama huyo wa Arusha,mtakatifu ni Mungu.
 
Inaonesha wewe pia ni muumini wa Mh, Dr, Babii Mkuu Geo Davie.....

Kabla sijakujibu hebu niambie kwanini huyo Nabii wenu ana Makadinali...?
Huo ni uamuzi tu, hata wewe waweza jiita kadinali hakuna maandiko yaliokataza kujiita hivyo, kama watu wanavyo jiita mitume ndio hivyo hivyo waweza jiita Baba mtakatifu.
 
makanisa maduka ayamezungumziwa sana kwa ufunua na manabii wa uongo ss ni wakati wa watu kuchambua na
kuendelea na maisha bila kuyumbishwa kiimani
 
Hata akijiita baba mtakatifu ila sio mtakatifu kwa maana hata huyo anaejiita baba mtakatifu ni msanii tu kama huyo wa Arusha,mtakatifu ni Mungu.

Hakuna anayejiita Baba Mtakatifu....Papa huitwa Baba Mtakatifu kwa kuwa mambo anayoelekeza/kuyasema ni matakatifu....Halafu kwann unasema ni msanii...?

Halafu hujui kuwa Mungu hupendezwa na watakatifu wa Duniani..!
 
Hakuna anayejiita Baba Mtakatifu....Papa huitwa Baba Mtakatifu kwa kuwa mambo anayoelekeza/kuyasema ni matakatifu....Halafu kwann unasema ni msanii...?

Halafu hujui kuwa Mungu hupendezwa na watakatifu wa Duniani..!

Biblia inasema wala msimwite mtu baba na hakuna binadamu mtakatifu wote wana dhambi.kwani hujui kwamba jamaa ni msanii? Nenda google kisha search satanic symbols utakuta jamaa ni illuminant mkubwa.tena ana chata kwenye vazi.
 
Biblia inasema wala msimwite mtu baba na hakuna binadamu mtakatifu wote wana dhambi.kwani hujui kwamba jamaa ni msanii? Nenda google kisha search satanic symbols utakuta jamaa ni illuminant mkubwa.tena ana chata kwenye vazi.

Ha ha ha...Mkuu sijui wewe ni Msabato...Unaniambia ni-search google...unadhani.google ndo ukweli huwekwa..? Hata mm naweza kuandika chochote kbaya kuhusu wewe na kuweka huko google halafu nikakwambia search google kama unataka ukweli...

Hizo ni ngonjera masalia wewe..
 
Pia nasikia ana Mabalozi wa kumuwakilisha katika nchi mbalimbali...Sasa sijajua ni nchi gani hizo..

Hilo tu? Ana msafara wa range zaid ya hamsin unaoongozwa na ving'ora na kulindwa na helicopter yani hata mikutano yake ni chopper inazunguka angani
 
Biblia inasema wala
msimwite mtu baba na hakuna binadamu mtakatifu wote wana dhambi.kwani
hujui kwamba jamaa ni msanii? Nenda google kisha search satanic symbols
utakuta jamaa ni illuminant mkubwa.tena ana chata kwenye vazi.

we ni mpuuzi tu na unaongea usiyoyajua hata hyo illuminant huijui,umepunguza heshma yako kutaka kuaminisha watu kwamba google ndiko huandikwa ukweli,Tafuta source nyingine mkuu hayo unayoona google wameandka watu kama wewe.
 
Hilo tu? Ana msafara wa range zaid ya hamsin unaoongozwa na ving'ora na kulindwa na helicopter yani hata mikutano yake ni chopper inazunguka angani

Unaweza tuwekea ushahidi wa picha.ukipata picha ya msafara wake na choper ikiwa angani itakuwa poa zaidi
 
Unaweza tuwekea ushahidi wa picha.ukipata picha ya msafara wake na choper ikiwa angani itakuwa poa zaidi

Njoo Arusha mkuu ujionee mwenyewe kwa macho wala usihadithiwe...

Tarehe moja January alizunguka Arusha nzima kwa chopa eti anabariki Jiji la Arusha..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom