Richard mtao
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 270
- 377
Hellow jamii, ni matumaini yangu mko poa na wazima wa afya njema sana. Namshukuru Mwenyezi Mungu kwajili ya hilo.
Guys, katika pita pita zangu vyuoni na taasisi mbalimbali nimekuwa nikiiskia hii kauli " MAAFISA UTUMISHI WANA ROHO MBAYA SANA" na hawaishii hapo wanaenda mbali kwa kutoa shuhuda zao mbalimbali ambavyo maHR wamewafanyia na kuwaachia maumivu makubwa katika maisha yao ya kazi.
Sasa leo naomba wana jamvi wenye experience au mtazamo tofauti kuhusu hii kauli mje tujadili hili jambo, maana kama kweli hawa ma HR wangekua na roho hizo je kwanini hawachukuliwi hatua na waajiri wao??
Mimi binafsi nahisi kuna kitu hakipo sawa katika malalamiko ya wafanyakazi wengi dhidi ya maafisa Utumishi.
Guys, katika pita pita zangu vyuoni na taasisi mbalimbali nimekuwa nikiiskia hii kauli " MAAFISA UTUMISHI WANA ROHO MBAYA SANA" na hawaishii hapo wanaenda mbali kwa kutoa shuhuda zao mbalimbali ambavyo maHR wamewafanyia na kuwaachia maumivu makubwa katika maisha yao ya kazi.
Sasa leo naomba wana jamvi wenye experience au mtazamo tofauti kuhusu hii kauli mje tujadili hili jambo, maana kama kweli hawa ma HR wangekua na roho hizo je kwanini hawachukuliwi hatua na waajiri wao??
Mimi binafsi nahisi kuna kitu hakipo sawa katika malalamiko ya wafanyakazi wengi dhidi ya maafisa Utumishi.