Wadau, habari zenu hapa jamvini....
mnamo tarehe 03 feb 2012, majira ya saa 10 jioni, shule ya sekondari mnacho iliyoko wilayani Ruangwa mkoani Lindi ilikumbwa na balaa la kimbuga lililoendana sambamba na mvua kubwa hivyo kusababisha kuezuliwa kwa mapaa ya madarasa, ofisi ya mkuu wa shule, ofisi ya waalimu na nyumba moja ya mwalimu.
kutokana na balaa hili, wanafunzi wa shule hiyo wamekuwa wakisoma kwa shifti wakitumia madarasa matatu yaliyobaki...
naomba kuwasilisha...
mnamo tarehe 03 feb 2012, majira ya saa 10 jioni, shule ya sekondari mnacho iliyoko wilayani Ruangwa mkoani Lindi ilikumbwa na balaa la kimbuga lililoendana sambamba na mvua kubwa hivyo kusababisha kuezuliwa kwa mapaa ya madarasa, ofisi ya mkuu wa shule, ofisi ya waalimu na nyumba moja ya mwalimu.
kutokana na balaa hili, wanafunzi wa shule hiyo wamekuwa wakisoma kwa shifti wakitumia madarasa matatu yaliyobaki...
naomba kuwasilisha...