Stupid! Ume2mia spinal cord au skull kupost hii thread! Kama we ni mwalimu kweli you are lost, ndo maana matokeo ya wanafunzi yanazidi kuwa down and down. Mwl unatakiwa uwe mtu mwenye upeo so unapost kathread kanako hang hv. Huna maadili.Wana jf nimekuta wa2 wanajadili maadili kati ya mwalimu wa primary na wa secondary in terms that wa secondary hawana maadili! Lets discuss this jf pals!
Stupid! Ume2mia spinal cord au skull kupost hii thread! Kama we ni mwalimu kweli you are lost, ndo maana matokeo ya wanafunzi yanazidi kuwa down and down. Mwl unatakiwa uwe mtu mwenye upeo so unapost kathread kanako hang hv. Huna maadili.
let me give u a piece of advice u nincompoop.....brush ua teeth and wash ua stinking body!!Stupid! Ume2mia spinal cord au skull kupost hii thread! Kama we ni mwalimu kweli you are lost, ndo maana matokeo ya wanafunzi yanazidi kuwa down and down. Mwl unatakiwa uwe mtu mwenye upeo so unapost kathread kanako hang hv. Huna maadili.
mkuu kumtii superior ni sawa bt cio kila anachosema superior ni cha kutii! Superior wako akikuchapa viboko cdhan kama utamtii! Kumbuka wale waalim waliochapwa viboko na dc mnali.....back to the topic nidham ya woga ni pale unapomnyenyekea mtu kupitiliza hadi kushindwa kutetea haki zako., na kama ni kazini mtu anafanya hivyo bse hana choice nyingine kama akifukuzwa.OR in other ways unanyenyekea kupitiliza bse u are after something and hiyo ciyo tabia ya mtu mwnyewe.Mkuu Vmark, nimekwazika kwa namna ulivyoamua kubandika bila kufuata kanuni za uandishi hasa kwenye punctuation.
Naomba ufafanuzi wa "nidhamu ya woga" , hili neno nalisikia sana na sipati maelezo ya kutosha. Je, kutii maagizo ya superior wako ni "woga", "nidhamu" au "nidhamu ya woga"?
Kama alivyoandika Nyakageni pale juu, nidhamu ni dhana pana sana. Inahitaji udadavuzi wa ni katika maeneo gani tunatakiwa kujadili.