magistergtz
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 282
- 56
Tofauti na wanasiasa wengi, Madiba ameonesha maadili ya hali ya juu sana ktk siasa zake. Hili, pamoja na siasa zake za maelewano na upatanisho, ni masomo mawili makubwa kutoka kwa Babu Madiba. Wanasiasa wetu waache siasa za jino kwa jino, mkono kwa mkono. Ni mawazo tu wanajamvi.