Jinsi nionavyo mimi, hali halisi ya ki usalama itakuwa ndogo hapo tunako fikia uchaguzi mkuu. Ingekuwa pana uwezekano, pande hizi mbili, Ukawa na CCM, wangekaa meza moja kabla ya uchaguzi wakakubaliana mapeema, waunde serikali ya mseto kwa makubaliano ya pamoja kuwa CCM itoe Rais wa nchi na Ukawa watoe makamu wa rais ili kiepusha furugu ambazo zina a shirikiana uvunjifu wa amani zinazo weza kujitokeza wakati wa uchaguzi na baada ya matokeo kupatikana, jambo ambalo pande zote zinaweza zisikubaliane na matoke, hali ambayo italeta vurugu kubwa mno na hata kuhatarisha usalama wa nchi.
Kuhusu swala la ubunge, hili wakubaliane uchaguzin ifanyike, na upande utakao kuwa na wabunge wingi waweze kutoa Waziri Mkuu. Madiwani vile vile uchaguzi ifanyike kama kawaida.
Hali hii ingeweza kiepusha majanga mengi na vile vile kupunguza muda na gharama za uchaguzi.
Haya ni maoni yangu.
Mwananchi mkereketwa SHIL