Maadili CCM mashakani

Maadili CCM mashakani

VIchwa viliharibiwa wakimfikiria membe wakamkata chaguo la watz, ila sasa ndiyo rais
 
Watanzania watu wa ajabu sana, yaani umaskini wa nchi lawama zote zimewekwa kwa mtu mmoja lowasa na wao hiyo propaganda wameikubali..yaani kukosekana kwa ufanisi serekalini ni sababu ya lowasa..sasa hivi ccm imekuwa chama kizuri kwasababu lowasa hayupo..it's very cheap and unlogical propaganda ila watu wameinunua kirahisi sana..akiwemu slaa na lipumba..!? Inashangaza na kusikitisha sana
 
Am waiting for Mr Humphrey Polepole......

Nilimtoa maana aliposema kiongozi akiwa na tuhuma tu hata bila kuthibithisha hafai kuwa kiongozi. Wakati huohuo akasema anapendekeza Nchemba na January wapewe uwaziri.

Makamba sawa, Nchemba ana tuhuma ngapi hadi sasa hata kama kazikanusha?

Naona haelewi watu wanaposema mfumo.
 
Kama Andrew Chenge ambaye kila skendo kuanzia ile ya rada yumo, ndege ya Rais yumo, kivuko cha Kilombero yumo, Meremeta yumo,Deep Green yumo, Escrow ac. yumo na yeye hakatwi, Tunasema tutampiga tafu Lowassa mpaka master bed-room ya ikulu. Hakuna kulala. Acha Magufuli atoe milungula yake ya laptop kwa mashemeji zake mama Salma.
 
Ccm msafi ni Mangula tu sijui lini atakuja huyu comrade kuvaa gwanda
 
Nilimtoa maana aliposema kiongozi akiwa na tuhuma tu hata bila kuthibithisha hafai kuwa kiongozi. Wakati huohuo akasema anapendekeza Nchemba na January wapewe uwaziri.

Makamba sawa, Nchemba ana tuhuma ngapi hadi sasa hata kama kazikanusha?

Naona haelewi watu wanaposema mfumo.

Sasa huyi Makamba ndiyo hafai kabisa maana aliiba mitihani...
 
Kama Andrew Chenge ambaye kila skendo kuanzia ile ya rada yumo, ndege ya Rais yumo, kivuko cha Kilombero yumo, Meremeta yumo,Deep Green yumo, Escrow ac. yumo na yeye hakatwi, Tunasema tutampiga tafu Lowassa mpaka master bed-room ya ikulu. Hakuna kulala. Acha Magufuli atoe milungula yake ya laptop kwa mashemeji zake mama Salma.
CCM watajuta mwaka huu. Kumbe kuna chuki kubwa na Lowasa
 
Mwenyekiti alikuja na majina mfukoni
 
Kama Lowasa alikatwa kwa upungufu wa maadili, then kama CCM wako sincere, Anna Tibaijuka na Chenge and the like wangelikatwa due to Escrow scandal. Haikufanyika hiyo, then why pick up on Lowasa!

Pole pole si yupo humu aione hii maana juzi alikuwa anatoka mapovu tu pale.
 
Mwenyekiti alikuja na majina mfukoni
Yes amesema Mgeta! Very strange, huyu ndiye amesema ukweli wa kikao hicho. Very brave person kusema what actually transpired there!
 
walimu wanahitaji nyumba bora, mazingira mazuri ya kufundishia, allowance za kutosha, ila laptop si mambo ya msingi sana na wala si kipaumbele
 
Kama Lowasa alikatwa kwa upungufu wa maadili, then kama CCM wako sincere, Anna Tibaijuka na Chenge and the like wangelikatwa due to Escrow scandal. Haikufanyika hiyo, then why pick up on Lowasa!

unaambiwa hivi , majina yalitoka lumumba , wala hayakutayarishwa dodoma .
 
Back
Top Bottom