Leo ni siku ya Wakulima Nchini! Siku hii huhitimisha wiki moja ya Maonesho ya Kilimo Nchi nzima ambako Wakulima naWafugaji hukutana na kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo ya Seekta yao!
Cha ajabu mwaka huu hakuna chochote kilichofanyika sijui kumetokea Nini!?Au Corona?!
Kama ndivyo mbona 77 ilifanyika ,mbona Mwenge unaendelea,mbona Matamasha ya Zuchu na wengine yanaendelea...kwa Ujumla misongamano ipo Kama kawaida.
Sasa ni kitu gani kimesababisha kusiwe na tukio hili muhimu mwaka huu?
Huku nchi yetu ikitegemea Kilimo kwa zaidi ya 65%?
Au ni dharau kwa Sekta hii?
Cha ajabu mwaka huu hakuna chochote kilichofanyika sijui kumetokea Nini!?Au Corona?!
Kama ndivyo mbona 77 ilifanyika ,mbona Mwenge unaendelea,mbona Matamasha ya Zuchu na wengine yanaendelea...kwa Ujumla misongamano ipo Kama kawaida.
Sasa ni kitu gani kimesababisha kusiwe na tukio hili muhimu mwaka huu?
Huku nchi yetu ikitegemea Kilimo kwa zaidi ya 65%?
Au ni dharau kwa Sekta hii?