Maadhimisho ya miaka 35 ya CCM live Star tv

Pamoja na ukata mkali lakini bado kuna "nyomi" CCM .Hapa kweli Dr. Bana anasema magamba hawana mbadala.






Hi picha ya sio ya leo! Pili umati huu huwa unafuata vitu viwili. Moja ni wasanii wanaoletwa na ccm ktk mikutano na mikusanyiko yao. Pili wanafuata chakula/hela ambazo zinatolewa ilihali wananchi wanakosa huduma za muhimu kama afya elimu etc. Mtalaaniwa wooote mnaohusika na upuuzi huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…