Maadhimisho ya CCM Mbeya yafana kupita kipimo

Maadhimisho ya CCM Mbeya yafana kupita kipimo

Anderson Shimb

Senior Member
Joined
Dec 23, 2013
Posts
169
Reaction score
26
Leo hapa Mbeya shamra shamra zilikuwa kibao hadi kila mwananchi aliamini pasipo shaka kwamba CCM haina Mpinzani. Na wanaopinga ni wale ambao hawana hoja zenye mashiko mbali na kutukana, kukashfu, kulaumu, kukosoa kila kilicho chema kwa ubaya, utawasikia wakisema au kupost eti nyie buku7, mara maccm, mara Lumumba, ili.mradi tu wametukana na kufurahisha nafisi zao. Kuthibitisha haya ninayoyaeleza, fuatilia michango yao, utaona mwenyewe na mapungufu yao yatajidhihrisha moja kwa moja.
 
Ni kweli kwa upande wa ufisadi CCM haina mpinzani!
 
Leo hapa Mbeya shamra shamra zilikuwa kibao hadi kila mwananchi aliamini pasipo shaka kwamba CCM haina Mpinzani. Na wanaopinga ni wale ambao hawana hoja zenye mashiko mbali na kutukana, kukashfu, kulaumu, kukosoa kila kilicho chema kwa ubaya, utawasikia wakisema au kupost eti nyie buku7, mara maccm, mara Lumumba, ili.mradi tu wametukana na kufurahisha nafisi zao. Kuthibitisha haya ninayoyaeleza, fuatilia michango yao, utaona mwenyewe na mapungufu yao yatajidhihrisha moja kwa moja.
Si bure, utakuwa umenajisiwa ubongo, kama si kutinduliwa! Akina nani hao waliokuambia kuwa CCM haina mpinzani? Uliwahoji wangapi wakakuambia hivyo?
 
Naam udhihirisho wa fikra za makalio badalaya kichwa. Si kila anayekuchekea anakupenda
 
Ni kweli kilichofanyika ni kwanza
1. Kubadili tarehe ili iangukie jumapili.
2. Kulazimisha watumishi wa umma kuwepo.
3. Ilitolewa chai na lunch
4. Wengine huenda walifuata makubaliano.kama vile wasanii
5. Wengine walifuata taarabu za hadija
6. Wengine walienda kumwona rais maana kutwa kucha yupo nje ya nchi.
7. Wengine wanausalama na mamluki
8. Wapenzi na mashabiki wake kama Greenguards nk
 
Back
Top Bottom