Maadai wapya wa Taifa letu ni hawa

Maadai wapya wa Taifa letu ni hawa

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,412
Reaction score
5,154
Uchawa!

huu umekuwa mfumo mpya wa watu maarufu na makundi mengine ya watu wenye ushawishi hapa nchini kujitafutia kipato baada yakuishiwa maarifa katika taaluma zao husika.Uchawa umegeuka mfumo hatari zaidi wa watawala kueneza propaganda zao zakipumbavu na kijinga.

Nyege!

Nchi imegeuka maabara ya majaribio ya mambo ya mapenzi . Watu wanapoteza maisha kizembe lakini huko mitaani nako watoto kwa watu wazima wanawaza minenguano masaa 24. Yote tisa kumi Njoo ndani ya majiji makubwa ndio balaah juu ya balaah, yaan mbunye zinatafunwa hovyo kama ugali tembele🙌

Ushoga

Hali imekuwa mbaya , watu hususani vijana wanatumia kila silaha walizinazo mwilini ili kuishi maisha ya ndoto zao hali inayopekea vijambio vyao kutumika bila huruma. Kwa kifupi tunasema mabasha wa taifa wamesimamia ukucha sasa kila Kona ya nchi kunanuka mavi.

Manabii

Wengi wao hawa niwaganga njaa wanaotapeli maelfu ya watanzania wazembe na wavivu wa kufikiri kupitia dini.

NB: honourable mention; Tamaa , uvivu na uwoga
 
Huku kwetu kuna shoga anaitwa BABU SHOGA

Kuna shoga anauza MAMA NTILIE

Kuna shoga anakaangiza chapati na watu wananunua

Aibu sana
 
Back
Top Bottom