Maabara katika shule za kata zina maana gani?

texaz mc

JF-Expert Member
Jan 15, 2016
371
205
HABARI WANA JF!
Hivi hizi maabara ktk shule za kata zina maana gani? maana mi tangu nipo form one mpaka sasa niko form four hatujawahi kufanya practical yoyote. je, kwani practical huwa wanafundisha form four tu? na kama ni hvyo mbna practical kama FOOD TEST ni ya form two?. yaan hapa tulipo hatujui practical huwa zinatokaje yaan tupo tu!
 
Usiwe na haraka practical wengi wanafundisha form 4 kwa sababu unaweza kusahau
 
HABARI WANA JF!
Hivi hizi maabara ktk shule za kata zina maana gani? maana mi tangu nipo form one mpaka sasa niko form four hatujawahi kufanya practical yoyote. je, kwani practical huwa wanafundisha form four tu? na kama ni hvyo mbna practical kama FOOD TEST ni ya form two?. yaan hapa tulipo hatujui practical huwa zinatokaje yaan tupo tu!
Ok! sasa nimepata jibu kwanini JF ya sasa si kama ile ya zamani.
 
Back
Top Bottom