Pliiz inapozungumzwa kesi ya singo mama wasiingizwe wanawake waliofiwa na waume zao (lugha sahihi wajane)abia mbaya za mume wakashindana
5. Kufiwa na mume
Sasa basi tusiwahukumu Kila kitu kinasababu yake.
Eee watoe tu miso zipate wateja, siungi mkono , kuponda single maza lakin😅Kwahiyo wamekuomba msaada??
Eeh bhana unataka watoe mimba??
Aisee😁,Eee watoe tu miso zipate wateja, siungi mkono , kuponda single maza lakin😅
Kidotiii😋Aisee😁,
AbeeKidotiii😋
Zanzibar na Tanganyika , mimi na wewe ndio tutaleta amani , nimeonyeshwa kwenye profesi😎Abee
Nimecheka😁😁😁,kwani Kuna vurugu?Zanzibar na Tanganyika , mimi na wewe ndio tutaleta amani , nimeonyeshwa kwenye profesi😎
Sasa unajidhalilisha ndugu, tunzeni muda, muache kazi zingine kwaajili ya kushindana utajiri dahSipo kwenye mahusiano na mama wa aina hiyo
Ila ukweli ni kuwa zipo sababu nyingi ambazo zingine kuwahukumu ni kuwaonea ,tusipende kufanya mjumuisho kwa vitu ambavyo hatujafuatilia kwa makini .
Kuhusu kujihami ,sijajihami bwana mdogo baharia 1 ila imebidi nikueleze mapema maana kwa vile unavyojitanabaisha kuwa na hela nilijua utadhani labda ni umasikini ndiyo unanituma kukuattack bwana tajiri .
Ila narudia tena ,hunizidi chochote kwa umri wako na ulivyo navyo ila zaidi labda umaarufu wako wa hapa jamvini ulioupata kwa kuwachamba masikini wanaopambana kujitafuta .
Sihitaji tuzungumze kwa michambo ,wala kusutana kama wamama ila nataka tufanye kwa vitendo ,niko tayari nikufuate popote ili nikuoneshe nilivyo navyo ujilinganishe ,JE UKO TAYARI RAFKI ? nataka tufanye hivyo leo .
Toa location PM nije tushindanishe utajiri wetu kijana mwenzangu
Huu muda raia wenzio wamelala au wapo kuangalia mechi majumbani sio mitandaoni ,wewe unatafuta nini hapa ndugu yangu ?Sasa unajidhalilisha ndugu, tunzeni muda, muache kazi zingine kwaajili ya kushindana utajiri dah
Naam. Si kweli kwamba singo maza wote wanapatikana kwa kuchagua kutowajibika kwa machaguo yao ya mahusiano.Kitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.
Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
Waambie kamandaKitu nimegundua kuna trend kubwa ya watu kuwasema singomaza maana watu wameona ina engagement sana.
Ila kiukweli naamini hata 80% of you guys hamjui chochote kuhusu singomaza na wala hamjawahi ku-date na singomaza.
Anhaa shetani kwasasa anatembea na miguu mikubwa kama hiiMkuu nimestuka sio muda na usingizi umekata🙄. Shetani aje tu kuna seme mpya uvunguni mwa kitanda changu
Nini hicho mkuu nyoka au?Anhaa shetani kwasasa anatembea na miguu mikubwa kama hii
Nyoka kaka kwajili ya ulinzi wa nyumbaNini hicho mkuu nyoka au?