Ma-Single Maza

Sio wote ni wabaya hivyo!!

Mimba ni kama chafya kwenye mahusiano haizuiliki kirahisi sana !na ikishatokea ni sisi ndio tunashindwa ku handle "baby Nina mimba Yako" badala ya sisi kama mwanamme kutoa msimamo mzuri tunasababisha panic Kwa mama na mtoto ambaye Bado hajazaliwa!!

Matokeo yake hata kesho ya huyo mtoto inakua haieleweki kabisa!!

Single mother nae anakua kwenye panic mode na kuanza vituko vya ajabu ajabu coz Hana pakushika!!

Wengine walijitakia lakini wengine ni sisi kabisa!!
 
Mkuu ,asilimia 90% za wamama walioachwa na waume zao ni kutokana na sisi wanaume hasa wanaume dhaifu asiyejua nini maana ya kuzalisha na kutunza au nini maana ya familia .

Nazungumza haya nikiwa na experience ya migogoro ya watu wa aina hiiyo ,sasa wakishakuwa katika maisha ya upweke na ulezi ,anaweza kuwa chochote sababu ya msongo wa mawazo na maisha magumu anayopitia

Wanaume tukijatambua single mama watapungua ,na tukijielewa zaidi basi watapungua zaidi sababu kuu ni sisi wanaume ,tusikimbie makosa tuliyoyasbabisha kwa kuwananga pasina kuwaomea huruma .

Wewe hutaki kuzaa na mtu au hauko tayari kuitwa baba ,basi vaa kondomu ili badaye usikimbie mimba ,wewe hutaki kuzaa na AISHA kisa ana bichwa kama parachichi basi vaa kondomu na uende nazo nyingi ili moja ikipasuka wahi kuvaa nyingine usiuze mechi .

Maisha yamekudunda kwa mwanamke unaenda kupata raha tu hutaki mzae basi fuatilia kama yupo kwenye danger zone au anatumia vizuia mimba au vaa kondomu ili mambo yasiwe mengi .

Tamaa isiwalete watoto ambao hatujawaandalia future
 
yaani umeishiwa hoja kabisa hadi unaleta mambo ya kitoto ya 'toa location tushindane utajiri'?
Hivi JF imekuwa chekechea siku hizi, Sishindani utajiri na mtu anayeshinda mtandaoni kutetea masalia ya jiji ili aonekane shujaa wa masingle maza. Hela zangu hazina muda wa kupotezana na chokambaya, Jadili hoja iliyopo mezani, mambo ya kunifuata PM waachie watoto wako wa kambo.
 
Umeshinda wewe bwana mdogo ila ukweli bado huna chochote kwenye neno "TAJIRI "
Mimi sio choka mbaya kama unavyosema ila siko hapa kukuprove right, ila endelea na mbilinge zako ila nakuahidi ipo siku tutakutana na nitakukumbusha kuwa mimi ndiye yule choka mbaya.

Ushindi ni wako baharia 1 ila rudia tena kuwaza juu ya neno single mama sio hivyo unavyodhani mdogo wangu
 
Tutaonana wapi labla jf
 
Umemwambia na Hamonaiza?
 
AISEE JF TAMU SANA
 
Hata kama...kwanini usianzishe Cha kwako mkuu na wanawake ni wengi waliookuwa hawana watoto..
 
Hii dunia ngumu sana! Namfahamu mzee mmoja, yeye kazi yake ilikuwa kuwasema watoto wa watu waliopatia mimba nyumbani. Wakati ukafika, naye mabinti zake wawili walishindwa kufika form four kwasababu ya mimba.
Sisi wakristo tunafundishwa, "usihukumu, usije ukahukumiwa"
 
Kwa hiyo hutakiwi kukemea wizi kwa sababu unaweza kuja kuzaa mtoto akawa mwizi?
Kiufupi binti kuzaa kuzalia nyumbani ni jambo la aibu kubwa sana kwa familia yake na linatakiwa kukemewa kwa nguvu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…