Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 223
- 549
Habari za Asubuhi wana-Jukwaa.
Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani...
Nimesikitishwa sana baada ya kuonekana kwenye video fupi iliyopostiwa na MC fulani bila idhini yangu, tulikuwa tunacheza na watu wengine tuliokutana ukumbini... SIJAPENDEZWA!
Ma-MC ifike mahali wawe wanaomba idhini kwa wahusika, akiridhia sawa asiporidhia si sawasawa kuipandisha kwenye mitandao ya kijamii. Tuna wake, watoto na nafasi kidogo katika jamii.
Unakuta mdada kavaa nguo ya sherehe, anafurahia ndugu, rafiki kaoa/kaolewa bahati mbaya akatumia kilevi kikamkolea, akijiachia kucheza tuu...kesho yuko kwenye page ya MC fulani.
Jipromotini bila kudhalilisha wengine.
Huyu MC ntakula nae sahani moja!
Nahitaji anilipe Fidia ya bilioni moja kwa kadhia zote nilizozipata baada ya kupost video ile.
Kabla ya yote nawapongeza ma-Mc kwa juhudi zao wakipambania chakula kiende kinywani...
Nimesikitishwa sana baada ya kuonekana kwenye video fupi iliyopostiwa na MC fulani bila idhini yangu, tulikuwa tunacheza na watu wengine tuliokutana ukumbini... SIJAPENDEZWA!
Ma-MC ifike mahali wawe wanaomba idhini kwa wahusika, akiridhia sawa asiporidhia si sawasawa kuipandisha kwenye mitandao ya kijamii. Tuna wake, watoto na nafasi kidogo katika jamii.
Unakuta mdada kavaa nguo ya sherehe, anafurahia ndugu, rafiki kaoa/kaolewa bahati mbaya akatumia kilevi kikamkolea, akijiachia kucheza tuu...kesho yuko kwenye page ya MC fulani.
Jipromotini bila kudhalilisha wengine.
Huyu MC ntakula nae sahani moja!
Nahitaji anilipe Fidia ya bilioni moja kwa kadhia zote nilizozipata baada ya kupost video ile.