supercharger GT
JF-Expert Member
- Sep 18, 2014
- 1,023
- 1,979
Huyu demu nmemjua kama siku tano tu hivi, nilikutana naye stationery fulani hivi hapa Dar, nmekuja kikazi kama kawaida ila umeme ukakata hapo ofisini kwetu na generator likawa linasumbua nkaona nikaprint report zangu nje.....nmemkuta pale kama mteja nikamsalimia na akaonesha interest kwangu tukachangamkiana akanambia anasoma IFM....basi nkachukua namba tukawa tunachat...
Kwanza nikagundua kuwa sio msomi kutokana na jinsi anavyoandika sms zake, pili hata sijamtongoza kapiga na mzinga.....duh [emoji23][emoji23][emoji23] kabisa anadanganya
Wadada mkiwa na njaa at least uje taratibu, na sisi sio kwamba tunavutiwa na nyie mkiwa mnasema mnasoma vyuo....lengo la kumtongoza limeisha.....