Mkuu mimi nilimpata mmoja ukimuita geto anaumwa mara UTI mara hedhi, Alikuwa wa chuo(sina uhakika), basi siku moja akaomba ada 100k amepeleza, nilipomwambia ntampa kesho asubuhi akasema aje alale kabisa ili aondoke nayo. Nkamkubalia akaja, asubuhi nkamwambia wacha niende Bank kumtolea hapo hapo akaingiza bajeti ya gauni la harusi ya dada yake 25k na kiatu 20k, nkamtega kuwa basi asubiri next week nimpe 200k akakubali, nkaona hana shida na pesa maana mwanzo wakati anaomba hela ya ada alisema kapewa siku 1 lasivyo atafukuzwa chuo, nkaamua tu kumuweka black list maana kuwasiliana nae wakati mwingine UJINGA UNAAMBUKIZWA.