- Thread starter
- #21
Which competent ...
Mpaka wakurugenzi wanajiua unasema competent
aibu gan hyo mkuu mwambie
Which competent ...
Mpaka wakurugenzi wanajiua unasema competent
hahahah lets we find out mkuu we shall met there
Ndio maana tunakuitaji we
we mwenye competence uje uokoe jahazi kiongozi...sasa kama utendaji
wetu maofisini ni mbovu vipi kama tukiajili tena vilaza ali si ndio
itakua mbaya zaidi..?
Kwa kiingereza hiki
unachoandika hapa. Tayari umeisha kosa Kazi baba...siumeona Mzee?
Competence, competence ndugu yangu
kumbe walitangaza kazi za kufundisha kingereza eeeh
You are not
serious...katafute Kazi kwenye SACCOS za sokoni uko..uku mjini utaumbuka
coz natafuta watu wanao jitambua..we we nafikili ata jinsia yako
hujitambui...pumbaf!.....
Kwa kiingereza hiki unachoandika hapa. Tayari umeisha kosa Kazi baba...siumeona Mzee? Competence, competence ndugu yangu
Mmh! Iyo NGELI mdau kama ndo unapeleka kwa interview hata kama walikuwa wanagawa nauli cjui kama utapewa.