Ma-HR hamna huruma kabisa

Ma-HR hamna huruma kabisa

tenant

Member
Joined
May 17, 2014
Posts
60
Reaction score
8
unamuita mtu toka mkoani huko kuja kufanya interview kumbe mshamuandaa mtu wenu,inauma sana ila Mungu atawalipeni
 
umejuaje kama walishamuandaa? any proof?
 
umejuaje kama walishamuandaa? any proof?

Safi sana mkuu. Asikatishe tamaa watu huyu jamaa...mi namjua vizuri ata uku COASCO ameomba Kazi tunamsubili aje atuonyeshe competence licha yakua jina lake ndio la mwisho kabisa. Ila akifanya poa atapata Kazi vilevile
 
competents?!! mbona utendaji bado mdogo na mbovu sana huko maofisini kwenu?!!

Ndio maana tunakuitaji we we mwenye competence uje uokoe jahazi kiongozi...sasa kama utendaji wetu maofisini ni mbovu vipi kama tukiajili tena vilaza ali si ndio itakua mbaya zaidi..?
 
Which competent ...
Mpaka wakurugenzi wanajiua unasema competent
 
Jiamini bwana mdogo...ukiona umekosa rudi home kajipange upya. Interview za Siku hizi wanataka competent na sio longolongo
we gx100 Msc hiyo tabia ya kuwainamia wanaume utabakwa siku si zako!!
 
Last edited by a moderator:
Safi sana mkuu.
Asikatishe tamaa watu huyu jamaa...mi namjua vizuri ata uku COASCO
ameomba Kazi tunamsubili aje atuonyeshe competence licha yakua jina lake
ndio la mwisho kabisa. Ila akifanya poa atapata Kazi vilevile
hahahah lets we find out mkuu we shall met there
 
Back
Top Bottom