Mchungaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!! Aaaaaah:twitch:
Unaipendea nini hiyo staili?
Mchungaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaajiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!! Aaaaaah:twitch:
Unaipendea nini hiyo staili?
Manzese chamtoto Magomeni walizimika mwanamme na mwanamke,mwanamke akasalimika mwanamme akashugulikiwa.Lewa na uanguke namna hii ukiwa Manzese uone kazi utakayofanyiwa
Napenda hii style!
Daa, sijui nisemeje maana picha nyingi hapo ni shemeji zetu huku Poland.
Kuna moja naona bia aina ya ZYWIEC ambayo ni maarufu sana hapa. Pia hii picha imepigwa kwenye mji unaitwa Opole, sehemu ya kufungia ndoa. Sasa sijui walikuja kufunga ndoa au ndiyo waliona ni sehemu nzuri ya kupatia kilaji na hapo wakakata mkanda wa picha.
Kuna nyingine nilishawahi kuiona kwa kweli inasikitisha sana. Hebu angalia mwenyewe hii film chini;
Kweli pombe ni mwanaharamu ingawa ukweli ni kuwa kila kitu kikizidi, kinamadhara. Hata chakula kinauwa.
Napenda hii style!
Manzese chamtoto Magomeni walizimika mwanamme na mwanamke,mwanamke akasalimika mwanamme akashugulikiwa.