Ma CCM kweli hamnazo!!!

Ma CCM kweli hamnazo!!!

kunguni wa ulaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
4,131
Reaction score
6,125
Hivi jamani huyu jamaa si ni baba wa mtu kabisa yani!
 

Attachments

  • 1440266936051.jpg
    1440266936051.jpg
    44.9 KB · Views: 840
Dah kazi kwelikweli huyu mwakalebela inaonekana anachambiaga makaratasi . Hastahili ubunge manake yeye anamawazo ya kunya tuu .
 
Ingewekwa picha ya gambaz apo policcm wangetoa tamko!
 
kamanda wa polisi angalikuja hapa faster ingalikua chama
 
Du! cheki poziii, mtu mzima huyo ati... mhh kazi ipo
 
Hivi jamani huyu jamaa si ni baba wa mtu kabisa yani!
Huyu jamaa anaonekana ni taahira kwa hayo maumbile ya kichwa chake hasa, uchogononi!
Ila taahira zaidi ni Mwakalebela kutuletea picha kama hizi!
Hiyo sheria ya mtandao haimuhusu?
 
Mbona Bendera za taifa mateja wamefunga kichwani kama tupac na hakuna anayejali!
 
Kwa hiyo mwakalebela ameamua kurusha picha yake akiwa faragha akijisaidia?
 
Vitu vingine hata aibu kupostiwa na mgombea ubunge. Aibu yake kumbe ni mpuuzi kiasi hichi
 
Back
Top Bottom