Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,206
- 1,151
Habari wanajukwaa,
Hivi ni mimi pekee au? Unamtafuta architect kwa lengo la kukuchorea ramani lakini hawajibu meseji, hawapokei simu na hata mkiongea hawezi kukwambia mipango inayoeleweka. Sasa kama mtu ni diaspora kweli ufunge safari hadi bongo kisa ramani? Kwani haya mambo hayawezi kumalizika kwenye simu? Kazi ni kupost picha tu za majengo lakini watafute sasa 🙌🏾 Sijui ni kwamba wana kazi nyingi kwamba wamezidiwa au inakuwaje kweli inakatisha tamaa. Wafute tu hizo namba za mawasiliano walizoweka kwenye page zao 🤧
Hivi ni mimi pekee au? Unamtafuta architect kwa lengo la kukuchorea ramani lakini hawajibu meseji, hawapokei simu na hata mkiongea hawezi kukwambia mipango inayoeleweka. Sasa kama mtu ni diaspora kweli ufunge safari hadi bongo kisa ramani? Kwani haya mambo hayawezi kumalizika kwenye simu? Kazi ni kupost picha tu za majengo lakini watafute sasa 🙌🏾 Sijui ni kwamba wana kazi nyingi kwamba wamezidiwa au inakuwaje kweli inakatisha tamaa. Wafute tu hizo namba za mawasiliano walizoweka kwenye page zao 🤧