Na nyie Chadema sasa mnakomoli! Leo Slaa yuko Tunduma (Mbeya); Kigaila yuko Mbeya Mjini anaendesha mafunzo ya makada wa chama; Mnyika, Mdee na makamanda wengine wako Mlandizi (Pwani); Tundu Lissu yuko Iringa; makamanda wengine wanaojulikana na wasiojulikana wamesambaa vijijini nchi nzima - kuanzia Ruaha, Arusha, Lushoto, n.k. CCM wana haki ya "kuelimishwa". Na hapo tunaambiwa mpango mzima ndio kwanza bado; Kanda hazija-take off inavyotakiwa; si itakuwa supper.