MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 887
Kafie mbali mwanaizaya weye!!! Huna hata aibu
subiri uchaguzi wa madiwani wa Arusha ndio useme kwamba ccm inaelekekushinda mwaka 2015Zile harakati uchwara za M4C zinazoendeshwa na chadema zimeingia hatua nyingine muhimu ya kudorora na kususiwa na wananchi hasa katika hatua ya kutoa sadaka cjui mchango wa kueneza hayo yameanza kujitokeza katika mkoa wa Iringa na yanaonekana yatasambaa nchi nzima na kuishia kama zile harakati za CUF.
Baadhi ya wahusika walipoulizwa kwanini mdororo ni mkubwa walijibu kuwa baadhi ya viongozi wa M4C wanakabiliwa na shutuma za ufisadi wa fedha za opresheni hiyo; wengine wanasema hamasa ya wananchi inashuka kutokana na kutomuona majukwaani kiongozi wao kipenzi Zitto Kabwe kwani jana kundi kubwa la vijana walijitokeza na kuimba tunamtaka zitto,zitto.
Kwa hali ilivyosasa kauli mbiu ya mbowe kuwa mwaka 2013 ni mwaka wa nguvu za umma inaanza kupotea;Ilihali CCM ikiendelea kujiimarisha kwa wananchi pamoja na kutekeleza Ilani yake Barabara; na kuifanya kushinda kwa wepesi kabisa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015
huyu ni chizi ametumwa na akina nape na wenzake
Huyu Chizi anazungumzia mdororo wa nini?View attachment 78197
kwa maelezo yako tu utakuwa
unaexpirience ya kutosha ya kutoa hayo mananii yako kwa wanaokutuma
hongera sana A big
Mananii na masaburi zote ni tasfida,toa ambalo tutaelewa zaidi kama kweli wewe ni mbabe wa matusi!si useme masaburi unamuogopa nini