Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Nadhani leo ni siku ya wale watu ambao ni wapenzi wa soka na mambo ya siasa kupata kigugumizi cha maamuzi wapi waelekee? Viwanja vya jangwani, au uwanja wa taifa kwenye mechi ya taifa stars. Nimekata tiketi ya mpira nikitegemea Kova atapiga stop M4C lakini ngoma ipo, sasa natangaza kwa yeyote anayetaka tiketi hii, tena bure. Ani PM tuwasiliane ili nimpe manake mi naelekea M4C Jangwani.