M4C Tabata Kimanga: Msigwa, Marando, Heche, Mashishanga Kuiteka Dar Es Salaam

Mkuu kijome ungetupiamo picha inayokuonesha na wewe nikuone ulivyotoka na combat
hahahaaa mkuu magamba yatanisaka kimya kimya maana siku hizi ni kung'oana kucha bila ganzi,tunayachapa kwenye mitandao kinoma...
 
hahahaaa mkuu magamba yatanisaka kimya kimya maana siku hizi ni kung'oana kucha bila ganzi,tunayachapa kwenye mitandao kinoma...

Mkuu kijome hongera sana, good job...wananchi wametulia wanafuatikia mkutano kwa utylivu na amani.policcm ndio wanaletaga machafuko pale wanapo sambaratisha mikutano ya chadema. Wasipo vuruga ni amani na utulivu
 

maaandamano na uroho wa madaraka vinawapa tamaa wachaga wa cdm
 
Magamba mkiongozwa na Ritz mlikuwa mnasubiri picha je mnataka nini tena?na hapo hakuna alieletwa na gari wala aliepewa posho.Ngojeni wiki iijayo jumapili tutawambia wapi tutalikita tena.
Tena kwa taarifa yao mkuu mkutano wa jana ni wa kata sio wa jimbo wala kitaifa,asanteni wana kimanga kwa muitikio wenu pamoja tutashinda!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…