- Thread starter
- #21
....asema leo hii kinaibuka kikunfi cha watu wawili watatu ambao hawajafunguliwa kesi yoyote...hawajawahi kushambuliwa kwa namba yoyote, wamepokea pesa za Magamba....ati wanadai tuwaachie uongozi wa Chama.."------- kabisa", watu wanacheka na kushangilia...