M4C ndani ya Ndanda ~ Masasi


Sasa ndio nini hicho?
 
Mlitika= Mtikila , umechakachua tu kiaina lakini bila kuongeza wala kupunguza herufi jina lako ni mtikila

awe mlitika au mtikila tatizo lako nini? Point ndiyo ya maana acha mboyoyo mazee
 
Wewe ambaye hujaelewa,alimaanisha kwamba watu wajivue magamba wasiwe kama kupe kung'ang'ania hata mzoga ambao ktk lugha ya fasihi ni ccm.watu wafunguke macho ngombe angali mnadani.yeah hiyo ndo m4c bana.
 
Mlitika= Mtikila , umechakachua tu kiaina lakini bila kuongeza wala kupunguza herufi jina lako ni mtikila

Usipotezee kizoba zoba; kamanda anakuongelea wewe na kupe wenziyo kuwa huyo ng'ombe keshakuwa mzoga hakuna cha kunyonya tena; liachieni!
 
Ukisikia ambiguity ndiyo hiyo hapo kwenye RED inayofuatiwa na BLUE. Sina haja ya kusema mengi kwa kuchelea mada husika kuitoa toka kwenye mwelekeo uliokusudia!!!
Yaani amefanya chini juu, juu chini. Halafu bado anabisha.
 
Aisee hata mimi nilikuwa sijawahi kumsikia kabla. Dogo jukwaa analimudu.
 

Kweli Prof. Slaa ni kisu cha moto.... yaani naona kwa mbaaali mnara wa kijani wa Babeli ukianguka, maana magamba yamegonganisha lugha.
 
Lema mwishi!

SOURCE Zombe (Kamishna Msaidizi wa Polisi)
 

Salam kwa Magamba hiyo,
akina Rejao bado wameganda kwenye ngozi,
wakati ngozi imeanikwa batini subirini ngozi inazidi kukauka.
 
The bottom line is 'the days for sisiem are numbered'. Full stop.
 
Mkuu watu kibao waligoma kuwa wajinga. Kamanda alikusanya kadi za magamba karibu ajaze sandarusi na kuwakabidhi Kadi za Ukombozi

Yaap nimekubali! naona font color zinawakilisha, fumbo bado linaendelea.
 
tehe tehe tehe, eti vyama vya musimu, sasa ni full mzuka pale magogoni
 
aksante wadau nafurahi kuona thread niliyoanzisha inachangiwa,nilihaaidi kupost picha,bahati mbaya flash imeleta shida,badala yake nitapiga hard kopi kwa digital then iwe soft kopi kama proof kwa wanajamvi,picha na Kamanda Lema siku ya Jumapili tarehe 3 June hapa Ndanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…