master gland
Senior Member
- Apr 3, 2012
- 198
- 60
Wanabodi,
Leo kulikuwa na mkutano wa hadhara Masasi watu ni wachache mno (hawazidi 500)inavyoonesha wananchi wa huku bado hawajaupokeo wito wa M4C.
Inavyoonesha mkutano haukutangazwa ipasavyo -matangazo yalikuwa kupitia bodaboda hivyo wengi hawakuwa na taarifa ya mkutano.
Kwenye mkutano mwenyekiti wa CDM wilaya alitoa hamasa kwa wananchi kujitambua ili wapate ukombozi wa kweli.
Mwisho kadi ziliuzwa na wanachama wapya wapatao ishirini walipatikana.
Ila shortcoming kubwa kwa uongozi hakuna mwanachama yeyote mpya aliyeandikishwa kwenye daftari zaidi ya kuuziwa kadi tu.
MY TAKE
1. CDM TAIFA , bado wana kazi kubwa ya kupromote M4C hapa Masasi
2. Uongozi wa wilaya ujitathimini upya ili ufanisi wa kichama uonekane dhahiri
3. Usajili wa wanachama wapya uendeshwe kwa utaratibu unaoeleweka
4. Vijana wanaonesha kuamka hapa Masasi ila mikutano ya mara kwa mara ifanyike kuaamasisha muamko
Leo kulikuwa na mkutano wa hadhara Masasi watu ni wachache mno (hawazidi 500)inavyoonesha wananchi wa huku bado hawajaupokeo wito wa M4C.
Inavyoonesha mkutano haukutangazwa ipasavyo -matangazo yalikuwa kupitia bodaboda hivyo wengi hawakuwa na taarifa ya mkutano.
Kwenye mkutano mwenyekiti wa CDM wilaya alitoa hamasa kwa wananchi kujitambua ili wapate ukombozi wa kweli.
Mwisho kadi ziliuzwa na wanachama wapya wapatao ishirini walipatikana.
Ila shortcoming kubwa kwa uongozi hakuna mwanachama yeyote mpya aliyeandikishwa kwenye daftari zaidi ya kuuziwa kadi tu.
MY TAKE
1. CDM TAIFA , bado wana kazi kubwa ya kupromote M4C hapa Masasi
2. Uongozi wa wilaya ujitathimini upya ili ufanisi wa kichama uonekane dhahiri
3. Usajili wa wanachama wapya uendeshwe kwa utaratibu unaoeleweka
4. Vijana wanaonesha kuamka hapa Masasi ila mikutano ya mara kwa mara ifanyike kuaamasisha muamko