Ktk eneo lililo sahaulika ktk jiji la Dar ni kigamboni na viunga vyake ili kuhakikisha jimbo linachuliwa 2015 maeneo ya pembamnazi, kimbiji, mwembe mdogo, mwembe matikiti, kisarawe 2, gezaulole, mwasonga, kibugumo, kibada, mjimwema, vijibweni, kisiwani, kizota, twamoyo, mikwambe, tuangoma...nk m4c ina hitajika hata uchaguzi uliopita kampeni ziliishia mbagala zakiem, watu wanahitaji mabadiliko kuukomboa mji mpya.