M-bongo na M-kenya!

M-bongo na M-kenya!

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Mtanzania na mkenya waliingia supermarket moja jijini DSM.Walipotoka nje,mkenya akawa anajigamba kwamba wakenya ni wajanja kuliko wa-TZ huku akimuonesha m-TZ chocolate tatu alizokwiba supermarket.M-bongo akamshawishi mkenya warudi tena ndani ya supermarket ili naye akamuoneshe ustadi wake.Walipofika tu ndani,m-TZ akamwambia mhudumu,'nataka kukuonesha mazingaombwe,hebu niletee chocolate tatu!'.Yule mhudumu akamletea chocolate tatu,jamaa akazila zote mbele ya mhudumu halafu akasema,'unaona mhudumu,mwenyewe umeshuhudia nimekula chocolate tatu lakini amini usiamini,chocolate zako ziko mfukoni kwa huyu jamaa'.Mhudumu akamkagua mkenya mfukoni then akachukua chocolate zake zote tatu.
 
Hahahaah!! Kwa hiyo hapo nani mjanja zaidi ya mwenzake?
 
hahahaha i like it asee:A S 465::A S 465:
 
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Tukuyu Mbeya
 
kwaio mkenya mwizi mmbongo mjanja?wakiwackia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom