Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
kuna dawa moja hivi niliitoa sumba wanga ngoja nikudokezee.
tengeneza kibubu/au chukua kibuyu
kining'inize kwenye kona ya chumba chako
sasa fanya hivi
kama kila siku unaliwa elfu kumi kumi
1. uninstall program zote za prediction ktk simu ama computer yako
2.uninstall app zote za kubet i.e meridian app m-bett app n. n.k
ile elfu kumi kumi unayo liwa kila siku ifikapo jioni usiipeleke kwa muhindi
wewe dondoshea kwenye kile kibuyu
FAIDA ZA DAWA HII
KWA WIKI UTKUA NA UHAKIKA WA KUINGIZA ELFU 70(zile ndani ya kibuyu) sawa na aliye weka boda boda mtaani
zidisha hiyo 70000/= kwa mwezi=?
kwa mwaka je? huja fanya la maana?
NB
Kwangu mimi dawa hiyi haijawahi kuniangusha
Sina cha kuongeza, pamoja mkuu.