kuna dawa moja hivi niliitoa sumba wanga ngoja nikudokezee.Wadau na wanasoka wa jf nijuzeni jinsi kubet nishindi uyu mwarabu anakula pesa zangu kila siku
Aaaah mkuu hiyo 70000 kwa wiki ukiweka kwenye timu tatu zenye odd ya 7.5987652 unapata kiasi ganikuna dawa moja hivi niliitoa sumba wanga ngoja nikudokezee.
tengeneza kibubu/au chukua kibuyu
kining'inize kwenye kona ya chumba chako
sasa fanya hivi
kama kila siku unaliwa elfu kumi kumi
1. uninstall program zote za prediction ktk simu ama computer yako
2.uninstall app zote za kubet i.e meridian app m-bett app n. n.k
ile elfu kumi kumi unayo liwa kila siku ifikapo jioni usiipeleke kwa muhindi
wewe dondoshea kwenye kile kibuyu
FAIDA ZA DAWA HII
KWA WIKI UTKUA NA UHAKIKA WA KUINGIZA ELFU 70(zile ndani ya kibuyu) sawa na aliye weka boda boda mtaani
zidisha hiyo 70000/= kwa mwezi=?
kwa mwaka je? huja fanya la maana?
NB
Kwangu mimi dawa hiyi haijawahi kuniangusha
Aaaah mkuu hiyo 70000 kwa wiki ukiweka kwenye timu tatu zenye odd ya 7.5987652 unapata kiasi gani
Yaaa sasa si umeona hiyo faidi mkuu=531913.564
70000x 7.5987652
hiyo hapo. ulitaka kusemaje mkuu
Huu mchezo ukijaribu ukala kama mara mbili hivi kuacha ni ngumuDuh huu mchezo ndio sichezi ng'oo
Umenipa maujanja hapo lazima nianze Na mtindo wa single matchtiazo Tatizo M-BET hawaruhusu kubet "single match"
Mi niko zangu MKEKA BET,Naruhusiwa kubet match moja tu,so naweka mzigo wa kutosha kwenye timu yenye uhakika wa kushinda hata kama ODDS ni 1.15....
Nikiweka 50,000/=Kitu kinajipa 70,000/.....
mechi ikiisha,naweka tena kwenye timu nyingine....
so kwa siku nakusanya tu twenty twenty hizo kama mara sita hivi,maana huku match zinaanza tangu asubuhiii......
M-BET nilishawakimbia!